Exodus 35:2-3
2 aKwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa Bwana. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe. 3 bMsiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu
(Kutoka 25:1-9)
Copyright information for
SwhKC